WAREMBO 10 BORA WALIOIGIZA NA SHAH RUKH KHAN
Kajol Devgn
Kajol
Devgn ameigiza na Shahrukh Khan katika filamu ya Baazigar, Karan Arjun, Kuch
Kuch Hota Hai, Kabhi Kushi Kabhi Gham, Dilwale Dulhaniya Le Jayenge and
My name is Khan. Filamu zote hizi zilifanya vizuri katika mauzo. Mbali na kuigiza muhusika mkuu, Kajol pia ametokea katika special appearances katika
Kabhi Alvida Naa Kehna, katika nyimbo "Rock N Roll Soniye". pia "Phir Milenge Chalte Chalte"katika Rab Ne Bana
Di Jodi, "Maahi Ve" katika Kal Ho Naa Ho na "Deewangi Deewangi" katika Om Shanti Om.
Source: Juhi Chawla Movies
Juhi Chawla
FILAMU: Raju
ban gaya Gentleman, Darr, Pehla Nasha, Kabhi Haan Kabhi naa, Ram Jaane,
Yes Boss, Duplicate, Phir bhi dil hai Hindustani, Raashq, One 2 ka 4,
Paheli, Bhoothnath, Krazzy 4 and Luck by Chance.
Source: Rani Mukherji Movies
Rani Mukherji
FILAMU: Kuch Kuch Hota
Hai, Har Dil jo Pyar Karega, Hey Ram, Chalte Chalte, Kal Ho naa Ho, Veer
Zaara, Paheli, Kabhi Alvida naa Kehna and Saathiya.
Preity Zinta
FILAMU: Kal Ho naa ho, Veer
Zaara and Kabhi Alvida naa kehna.
Source: Aishwarya Rai Bachchan Movies
Aishwarya Rai Bachchan
filamu: Mohabbatein , Devdas and
Raashq (haijatoka bado). .
Kareena Kapoor
FILAMU: Asoka and Ra-One.
Source: Madhuri Dixit Movies
Madhuri Dixit
FILAMU: Anjaam, Koyla,
Dil to Pagal hai, Hum Tumhare Hain Sanam and Devdas.
Deepika Padukone
FILAMU: Om shanti om na Chennai express
.
.
Anushka Sharma
FILAMU: Rab Ne Bana Di Jodi na Jab Tak Hai JaanFILAMU MPYA ZA KIHINDI HII JANUARY 2014
January
| Release Date | Film-Title | Star-Cast | Director | Genre |
|---|---|---|---|---|
| Jan 3 | Joe B. Carvalho | Arshad Warsi, Soha Ali Khan, Jaaved Jaaferi, Paresh Rawal | Sameer Tiwari | Comedy |
| Jan 3 | Sholay 3D | Dharmendra, Amitabh Bachchan, Hema Malini, Sanjeev Kumar, Amjad Khan | Ramesh Sippy | Romance, Action |
| Jan 10 | Dedh Ishqiya | Arshad Warsi, Naseeruddin Shah, Madhuri Dixit, Huma Qureshi | Abhishek Chaubey | Thriller, Romance |
| Jan 10 | Yaariyan | Himansh Kohli, Serah Singh, Nicole Faria | Divya Khosla Kumar | Romance |
| Jan 17 | Dare You | Alisha Khan | Denis Selarka, Mehul Simaria | Thriller, Drama |
| Jan 17 | Karle Pyaar Karle | Shiv Darshan, Hasleen Kaur | Rajesh Pandey | Romance |
| Jan 17 | Lakshmi | Monali Thakur, Shefaali Shah, Ram Kapoor, Satish | Nagesh Kukunoor | Social, Drama |
| Jan 17 | Miss Lovely | Nawazuddin Siddiqui, Niharika Singh | Ashim Ahluwalia | Comedy |
| Jan 17 | Paranthe Wali Gali | Anuuj Saxena, Neha Pawar, Mohinder Gujral | Sachin Gupta | Romance, Comedy |
| Jan 24 | Jai Ho | Salman Khan, Daisy Shah, Tabu, Danny Denzongpa | Sohail Khan | Action |
| Jan 31 | Babloo Happy Hai | Sahil Anand, Erica Fernandes, Preet Kamal | Nila Madhab Panda | Comedy |
| Jan 31 | One By Two | Abhay Deol, Preeti Desai, Rati Agnihotri | Devika Bhagat | Comedy, Romance |
| Jan 31 | Total Siyappa | Ali Zafar, Yaami Gautam | E Niwas | Drama |
TUZO ZA FILMFARE INDIA
FILAMU ZA KIHINDI: BAADA YA CHENNAI EXPRESS SHAHRUKH KHAN ANAKUJA NA HAPPY NEW YEAR
Baada ya kufanya vyema katika filamu ya chennai express, King wa Bollywood " Shah Rukh Khan" anakuja na HAPPY NEW YEAR, filamu inayomkutanisha tena na binti mrembo Deepika Padukone huku akimkaribisha SMALL B, Abishek pamoja na IRAN BOMAN.
Kwa mjibu wa kalenda ya filamu, itakuwa sokoni october 2014.
KUTOKA BOLLYWOOD: UCHAFU WA HRITHIK ROSHAN "KRRISH" WAMFANYA MKEWE KUMWAGA MANYANGA
NI HALI ISIYOVUMILIKA kwa mwanamama Suzanne kwa mumewe Hrithik Roshan almaarufu "KRRISH" kama wengi wanavyomfahamu kupitia filamu yake hiyo.
Mkasa ulianza katika filamu ya KITE aliyocheza na mwanadada Barbara Mori "RUBY", baada ya scene kali za kimahaba ndipo Hrithik aliamua kuzama kabisa na kuiacha ndoa yake ikiteketea.
Hakuna lolote lililosemwa kutika katika familia ya ROSHAN lakini kuna uwezekano mkubwa wa Hrithik kuhama na kumwacha Suzanne katika nyumba yao kutokana kuwepo kwa mahusiano mazuri kati ya Suzanne na familia ya ROSHAN

ILIKUWA NI SIKU MUHIMU SANA KWANGU
| Chuyam chuyae, upande wa kulia nikiwa na ndugu yangu Abdul Mdug wakati wa mahafali ya kwanza ya chuo kikuu cha sayansi na teknoloji Mbeya |
| Wa kwanza kulia, Swahibu akifatiwa na Marry Isaka, wa katikati ni Chuyam Chuyae huku Glory elisante akiwa karibu naye na wa kwanza kushoto ni Nelson |
| was very fun in graduation, computer engineering wasnt easy but i made it |
CHUYAM CHUYAE: HUYU NDIYE MUSTAPHA J KIROBOTO, MWANDISHI WA SCRIP...
CHUYAM CHUYAE: HUYU NDIYE MUSTAPHA J KIROBOTO, MWANDISHI WA SCRIP...: click here to Follow him on facebook /Mustapha Kiroboto Wito wa pili ulipenya masikioni kwangu taratibu nakunifany...
CHUYAM CHUYAE: MTOTO WA AISHWARYA RAI AWA MAARUFU KULIKO WAZAZI W...
CHUYAM CHUYAE: MTOTO WA AISHWARYA RAI AWA MAARUFU KULIKO WAZAZI W...: Aaradhya Bachchan mtoto wa masupa staa wa bollywood aishwarya rai na abshek hawa gumzo sana katika vyombo vingi vya habari huku kila ha...
HUYU NDIYE MUSTAPHA J KIROBOTO, MWANDISHI WA SCRIPT.........KAMA HAUMJUI JARIBU KUMSOMA.
click here to Follow him on facebook /Mustapha Kiroboto
Wito
wa pili ulipenya masikioni kwangu taratibu nakunifanya nifungue macho
yangu, sikutambua kwanini nililala, nika kutana na sura ya Anita,
binti mrembo sana aliewahi kuwa mpenzi wangu moyo ulini ripuka sana na
kuhisi ganzi ikiniandama mwili mzima, Anita alitabasam huku akiwa
ameniinamia, kana kwamba alikuwa akisubiri kuongea nami, nilitaka kuamka
nikagundua kuwa sikua na uwezo wa kufanya hivyo,
kwani nilijihisi kama mtu nisie na mwili, kwa haraka nikajua mwili
wangu umekufa ganzi ndio maana siusikii kuni sapot kwa ninacjokitaka,
kitu cha ajabu eneo lile lilikuwa limetawaliwa na giza lenye kuzuia nuru
ya macho, kuangaza upande wa kulia kwangu nikamuona mzee manata, (Babu
yangu mzaa mama,, tuliemzika miaka sita iliyopita) hofu ikanizidi
nikaanza kuhisi baridi kali sana maeneo ya kifua, nilipotaka kunyanyua
mkono wangu ili nikiguse kifua changu nikajihisi kama sina mikono, Anita
alisikitika kisha akaniambia "subiri Amon bado hawaja kuzika" kauli ya
Anita ilinifanya nijihisi hali ambayo sikuwahi kuihisi tangu kuumbwa
kwangu, Kusema ukweli niliamini kuwa nipo ndotoni, na yale mazingira ya
eneo lile nikahisi kuwa ile ni ndoto tena ya kutisha, "Anita" nilimuita
kwa sauti ambayo sikuwahi kuiongea, siluelewa ni kwanini kinywa changu
kimetoa sauti ile, Anita akanituliza kisha akaniambia kuwa "bado ndugu
zako hawajakuzika, hebu tulia ili mwili wako ukufikie ukiwa kamili kwani
maisha ya huku ukiwa na upungufu wa kiungo chochote ni tabu sana ndio
maana mungu anawarudishia viungo hata walemavu wa duniani pindi
wanapifika sehemu hii" sikumuelewa kabisaa, kwani nipo wapi? Nilimuuliza
anita Anita akamuangali mzee manata kisha mzee manata akavuka upande wa
pili na kunisogezea kitu mfano wa shuka jeusi lililojaa vumbi, punde
nikaiona hali ya Dunia kwenye ile shuka na wala haikufanana na sinema
bali ilikua ni live, nikaonyeshwa nyumbani kwa baba yangu mzazi watu
wakiwa wamejaa sana, wengine wanalia, nikaziona gari zangu tatu zimepaki
nje mbele ya gari moja ya kubebea abiria wapo madereva wa magari ya
kampuni yangu wanachangishana hela wakiwa na huzuni sana mmoja ameshika
kitabu, muda mfupi niliziona gari sita zinaingia eneo lile moja ni gari
ya kubebea maiti, nilijiuliza nani amefariki nyumbani kwa baba yangu?
nikaamini tukio la msiba ndilo lililonifanya nipoteze faham na kufika
eneo nililopo, lakini ni wapi nilipo? mbona pako tofauti na maisha ya
kawaida? Wakati naendelea kujiuliza nilishangaa kumuona mke wangu
kipenzi, mama furaha akitelemka toka garini kinamama majirani wamemshika
akiwa hajiwezi, Analia kupitiliza, Dada zangu na mama yangu nao
walikuwa hawajiwezi kwa kulia, tena walilia huku wakitaja jina langu eti
nimekwenda nimewaacha, nilishikwa na butwaa nikiwa sielewi ninachokiona
kinamaanisha nini, mara tena nikamuona Jeremia mdogo wangu anatelemka
garini na kukumbatiana na baba yangu mzazi kisha akazunguruka nyuma ya
gari akajiinamia na kuanza kulia, vijana akiwepo dany condacta wa moja
ya magari ya kampuni yangu wakamzunguruka na kuanza kumfariji eti
ajikaze kazi ya mungu haina makosa, nikawaona vijana kadhaa wameongozwa
na kaka yangu mkubwa wakaiendea ile gari ya kubebea maiti, kauli moja
aliyoiongea kaka ilinishitua eti alisema "Ndugu yangu kupata mafanikio
kidogo tu wamemuondoa Duniani" kisha akaanza kulia, sikuwahi kumuona
kaka yangu akilia hata siku moja misiba yote iliyopita, huu msiba ni
wanani? Nilijiuliza bila wakunijibu, punde kijana mmoja alitelemsha
msaraba ulioandikwa Amin Austane themiss, nilishangaa kuona jina langu
kwenye ule msaraba, vijana wengine wakisaidiana na kaka yangu wakaanza
kuteremsha jeneza,ila cha ajabu walipolinyanyua tu lile jeneza nika
hisi kama nimenyanyuliwa mimi nikiwa ndani ya kitu ambacho siwezi
kujizuia kinapoinamia upande mmoja, nilimsikia kaka yangu akisema
"bebeni vizuri msiinamishe upande mmoja" mara nikajikuta nimekaa sawa
ila nikijihisi kubebwa juu juu bado.
MTOTO WA AISHWARYA RAI AWA MAARUFU KULIKO WAZAZI WAKE
Aaradhya Bachchan mtoto wa masupa staa wa bollywood aishwarya rai na abshek hawa gumzo sana katika vyombo vingi vya habari huku kila hatua moja ikiwa inafatiliwa.
Akiwa amevalia pink alionekana ametokelezea sana, baadhi ya vyombo vya haabari vikiripoti mtoto ni noma na nguo zinamkaa sana.
FILAMU ZA KIHINDI: KAMA HUJAIONA ANGALIA SASA.......JOHNDAY
Ni filamu ya kusisimua sana iliyotaarishwa na
Anjum Rizvi, Aatef A Khan and K Asif huku
Ahishor Solomon akiwa mwandishi na muongozaji wa filamu hii.
Kwa upamde wa vinara ni mtu mzima
Naseeruddin Shah huku akiwa na Randeep Hooda,Vipin Sharma, Shernaz Patel, Sharat Saxena na Elena Kazan.
si ya kukosa!!!!!
MPYA KUTOKA BONGO MOVIES

“Jamal”, askari jeshi mwenye cheo cha sajenti, baada ya kusota sana bila kazi kutokana na kufukuzwa jeshini hatimaye anakutana na kocha Joramu ambaye alikuwa kocha wake wa mchezo wa ngumi(boxing) alipokuwa jeshini na anampa Jamal mwongozo wa maisha. Jamal anafurahia mafanikio yake yanayomuunganisha tena na familia yakae lakingi ghafla….???

Uzembe ni kitu kidogo unaweza kuleta madhara makubwa katika maisha kila jambo lafaa kufanyija kiumakini…Fuatilia kisa hiki cha ANTI-VIRUS...
Ndoa inaweza kuwa ndoa, ndoa inaweza kuwa ndoano. Mazoea mabaya katika ndoa yanaweza kukufanya ujisahau mwanzoni lakini yakifika shingoni...

Wawili wakisha pendana kwamwe hakuna wakuwatenganisha...
Fitina .Uongo na hata roho mbaya haziwezi fanya lolote katika hili….Fuatilia
FILAMU ZA KIHINDI ZINAZOONGOZA KWA MAUZO
1. CHENNAI EXPRESS
Directed by Rohit Shetty
cast: Shahrukh Khan and Deepika Padukone.
2. 3 IDIOTS
Directed by Rajkumar Hirani
cast: Aamir Khan, Kareena Kapoor.
3.EK THA TIGER
cast: Salman Khan and Katrina Kaif
Directed by Kabir Khan
4.
Yeh Jawaani Hai Deewani
cast: Ranbir Kapoor and Deepika
directed by Ayan Mukerji
5. DABAANG2
cast: Salman Khan
Directed by Arbazz Khan
UNAMKUMBUKA ANJALI MTOTO KATIKA KUCH KUCH HOTA HAE
Huyu ni yule mtoto aliigiza kama mtoto wa SHAHRUKH KHAN aliyezaliwa kisha mama yake RANI anafariki. Alipofikisha miaka 8 anapewa kitabu alichoachiwa na mama yake kinachohusu hadithi ya baba yake na rafiki wa baba yake KAJOL.
Miaka imesogea sasa na katoto kamekuwa kikubwa, mwaka jana amecheza movie ya STUDENT OF THE YEAR akitumia jina la TANYA.

Subscribe to:
Posts (Atom)

























Filmfare Bollywood Award,












Release Date: 14 March 2014