change the language of a blog

TINO AJA NA BONGO MOVIE STAR SEARCH



SUPER STAR wa BONGO MOVIE,Hissan Muya al-maaruf TINO ameamua kuandaa shindano linalokwenda kwa jina la "BONGO MOVIE STAR SEARCH" ili kusaka vipaji vilivyojichimbia Tanzania kote.
Usajili wa kazi yake hii tayari ameshaufanya na sasa full kibali akisubiria kuanza kwa kazi yake hii ambayo ilikuwa IDEA ya pamoja na marehemu KANUMBA.

 Tino ni miongoni mwa wasanii wanatendea haki tanisia hii ya filamu bongo,amekuwa hakifanya vizuri sana katika filamu mbalimbali anazocheza.





SHAHRUKH KHAN NA KATRINA KAIF WALA BATA LONDON


















King of Bollywood,Shahrukh Khan pamoja mrembo anayebamba kwa sasa Bollywood Katrina Kaif wameonekana wakijivinjali jijini London last week,vyombo vingi vya masuala ya movie vimekuwa vikiweka dauti kuhusiana na ukaribu huo ambao siku za karibuni umekuwa ukishamili sana kiasi cha kwamba kutoka holiday London,wawili hao hawakuwa pekee yao hali inayofanya wasiwasi kwa wapenzi wa Bollywood kupungua.Khan alikuwa pamoja na famila yake huku Katrina akiwa karibu na familia hiyo.















Ukaribu wa Khan na Katrina huwenda umesababishwa na Yash Chopra,muandaaji wa filamu mpya ya "JAB TAK HAI JAAAN" iliyowaakutanisha wawili hawa."kikukweli tunaisubilia kwa hamu kubwa sana hii movie"alisema shabiki mmoja wa Khan nchini USA.
Watu wengi hususani wapenzi wa bollywood wamekuwa na shauku kubwa na movie mpya ya KING KHAN na Katrina Kaif ambayo siku chache zijazo itakuwa sokoni.