change the language of a blog

UNAKUMBUKA COUPLE HIZI ZILIZOBAMBA KWENYE LUNINGA



1.MZEE SMALL NA BI CHAU






















Muda mrefu sana wapo pamoja kwenye sanaa,mara nyingi ukimwona mmoja basi mwingine yupo pembeni.Hata baadhi ya matangazo ya biashara wamekuwa pamoja


2.RAY NA JOHARI

Kitambo sana tangu Kaole kwenye tamthilia hadi sasa,kwa kweli walikuwa wanabamba sana.

3.NORA NA DR.CHENI
 


Duuuh! kitambo sana enzi za kaole hizo,jamani tumetoka mbali,enzi za TV moja mtaa mzima.

3.BISHANGA NA WARIDI

















4.RICHIE NA AISHA WA MAMBO HAYO















Natamani hawa watu wafanye kazi mapema,mambo haya ni moja ya kikundi cha sanaa kilichokuwa kinabamba sana