change the language of a blog

ILIKUWA NI SIKU MUHIMU SANA KWANGU

Chuyam chuyae, upande wa kulia nikiwa na ndugu yangu Abdul Mdug wakati wa mahafali ya kwanza ya chuo kikuu cha sayansi na teknoloji Mbeya

Wa kwanza kulia, Swahibu akifatiwa na Marry Isaka, wa katikati ni Chuyam Chuyae huku Glory elisante akiwa karibu naye na wa kwanza kushoto ni Nelson

was very fun in graduation, computer engineering wasnt easy but i made it