change the language of a blog

KUTOKA BOLLYWOOD: UCHAFU WA HRITHIK ROSHAN "KRRISH" WAMFANYA MKEWE KUMWAGA MANYANGA

NI HALI ISIYOVUMILIKA kwa mwanamama Suzanne kwa mumewe Hrithik Roshan almaarufu "KRRISH" kama wengi wanavyomfahamu kupitia filamu yake hiyo.
Mkasa ulianza katika filamu ya KITE aliyocheza na mwanadada Barbara Mori "RUBY", baada ya scene kali za kimahaba ndipo Hrithik aliamua kuzama kabisa na kuiacha ndoa yake ikiteketea.
Hakuna lolote lililosemwa kutika katika familia ya ROSHAN lakini kuna uwezekano mkubwa wa Hrithik kuhama na kumwacha Suzanne katika nyumba yao kutokana kuwepo kwa mahusiano mazuri kati ya Suzanne na familia ya ROSHAN
Hrithik-Suzanne divorce: Roshans to throw Hrithik out! (view pics)

ILIKUWA NI SIKU MUHIMU SANA KWANGU

Chuyam chuyae, upande wa kulia nikiwa na ndugu yangu Abdul Mdug wakati wa mahafali ya kwanza ya chuo kikuu cha sayansi na teknoloji Mbeya

Wa kwanza kulia, Swahibu akifatiwa na Marry Isaka, wa katikati ni Chuyam Chuyae huku Glory elisante akiwa karibu naye na wa kwanza kushoto ni Nelson

was very fun in graduation, computer engineering wasnt easy but i made it

UMEZIONA HIZI?

CHUYAM CHUYAE: MTOTO WA AISHWARYA RAI AWA MAARUFU KULIKO WAZAZI W...

CHUYAM CHUYAE: MTOTO WA AISHWARYA RAI AWA MAARUFU KULIKO WAZAZI W...:   Aaradhya Bachchan mtoto wa masupa staa wa bollywood aishwarya rai na abshek hawa gumzo sana katika vyombo vingi vya habari huku kila ha...

HUYU NDIYE MUSTAPHA J KIROBOTO, MWANDISHI WA SCRIPT.........KAMA HAUMJUI JARIBU KUMSOMA.


















Wito wa pili ulipenya masikioni kwangu taratibu nakunifanya nifungue macho yangu, sikutambua kwanini nililala, nika kutana na sura ya Anita, binti mrembo sana aliewahi kuwa mpenzi wangu moyo ulini ripuka sana na kuhisi ganzi ikiniandama mwili mzima, Anita alitabasam huku akiwa ameniinamia, kana kwamba alikuwa akisubiri kuongea nami, nilitaka kuamka nikagundua kuwa sikua na uwezo wa kufanya hivyo, kwani nilijihisi kama mtu nisie na mwili, kwa haraka nikajua mwili wangu umekufa ganzi ndio maana siusikii kuni sapot kwa ninacjokitaka, kitu cha ajabu eneo lile lilikuwa limetawaliwa na giza lenye kuzuia nuru ya macho, kuangaza upande wa kulia kwangu nikamuona mzee manata, (Babu yangu mzaa mama,, tuliemzika miaka sita iliyopita) hofu ikanizidi nikaanza kuhisi baridi kali sana maeneo ya kifua, nilipotaka kunyanyua mkono wangu ili nikiguse kifua changu nikajihisi kama sina mikono, Anita alisikitika kisha akaniambia "subiri Amon bado hawaja kuzika" kauli ya Anita ilinifanya nijihisi hali ambayo sikuwahi kuihisi tangu kuumbwa kwangu, Kusema ukweli niliamini kuwa nipo ndotoni, na yale mazingira ya eneo lile nikahisi kuwa ile ni ndoto tena ya kutisha, "Anita" nilimuita kwa sauti ambayo sikuwahi kuiongea, siluelewa ni kwanini kinywa changu kimetoa sauti ile, Anita akanituliza kisha akaniambia kuwa "bado ndugu zako hawajakuzika, hebu tulia ili mwili wako ukufikie ukiwa kamili kwani maisha ya huku ukiwa na upungufu wa kiungo chochote ni tabu sana ndio maana mungu anawarudishia viungo hata walemavu wa duniani pindi wanapifika sehemu hii" sikumuelewa kabisaa, kwani nipo wapi? Nilimuuliza anita Anita akamuangali mzee manata kisha mzee manata akavuka upande wa pili na kunisogezea kitu mfano wa shuka jeusi lililojaa vumbi, punde nikaiona hali ya Dunia kwenye ile shuka na wala haikufanana na sinema bali ilikua ni live, nikaonyeshwa nyumbani kwa baba yangu mzazi watu wakiwa wamejaa sana, wengine wanalia, nikaziona gari zangu tatu zimepaki nje mbele ya gari moja ya kubebea abiria wapo madereva wa magari ya kampuni yangu wanachangishana hela wakiwa na huzuni sana mmoja ameshika kitabu, muda mfupi niliziona gari sita zinaingia eneo lile moja ni gari ya kubebea maiti, nilijiuliza nani amefariki nyumbani kwa baba yangu? nikaamini tukio la msiba ndilo lililonifanya nipoteze faham na kufika eneo nililopo, lakini ni wapi nilipo? mbona pako tofauti na maisha ya kawaida? Wakati naendelea kujiuliza nilishangaa kumuona mke wangu kipenzi, mama furaha akitelemka toka garini kinamama majirani wamemshika akiwa hajiwezi, Analia kupitiliza, Dada zangu na mama yangu nao walikuwa hawajiwezi kwa kulia, tena walilia huku wakitaja jina langu eti nimekwenda nimewaacha, nilishikwa na butwaa nikiwa sielewi ninachokiona kinamaanisha nini, mara tena nikamuona Jeremia mdogo wangu anatelemka garini na kukumbatiana na baba yangu mzazi kisha akazunguruka nyuma ya gari akajiinamia na kuanza kulia, vijana akiwepo dany condacta wa moja ya magari ya kampuni yangu wakamzunguruka na kuanza kumfariji eti ajikaze kazi ya mungu haina makosa, nikawaona vijana kadhaa wameongozwa na kaka yangu mkubwa wakaiendea ile gari ya kubebea maiti, kauli moja aliyoiongea kaka ilinishitua eti alisema "Ndugu yangu kupata mafanikio kidogo tu wamemuondoa Duniani" kisha akaanza kulia, sikuwahi kumuona kaka yangu akilia hata siku moja misiba yote iliyopita, huu msiba ni wanani? Nilijiuliza bila wakunijibu, punde kijana mmoja alitelemsha msaraba ulioandikwa Amin Austane themiss, nilishangaa kuona jina langu kwenye ule msaraba, vijana wengine wakisaidiana na kaka yangu wakaanza kuteremsha jeneza,ila cha ajabu walipolinyanyua tu lile jeneza nika hisi kama nimenyanyuliwa mimi nikiwa ndani ya kitu ambacho siwezi kujizuia kinapoinamia upande mmoja, nilimsikia kaka yangu akisema "bebeni vizuri msiinamishe upande mmoja" mara nikajikuta nimekaa sawa ila nikijihisi kubebwa juu juu bado.

MTOTO WA AISHWARYA RAI AWA MAARUFU KULIKO WAZAZI WAKE

Aaradhya Bachchan mtoto wa masupa staa wa bollywood aishwarya rai na abshek hawa gumzo sana katika vyombo vingi vya habari huku kila hatua moja ikiwa inafatiliwa.
Akiwa amevalia pink alionekana ametokelezea sana, baadhi ya vyombo vya haabari vikiripoti mtoto ni noma na nguo zinamkaa sana.

FILAMU ZA KIHINDI: KAMA HUJAIONA ANGALIA SASA.......JOHNDAY

Ni filamu ya kusisimua sana iliyotaarishwa na  Anjum Rizvi, Aatef A Khan and K Asif huku Ahishor Solomon akiwa mwandishi na muongozaji wa filamu hii.
Kwa upamde wa vinara ni mtu mzima  Naseeruddin Shah huku akiwa na Randeep Hooda,Vipin Sharma, Shernaz Patel, Sharat Saxena na Elena Kazan.
si ya kukosa!!!!!

MPYA KUTOKA BONGO MOVIES

Lost Dream (Ndoto iliyopotea)
“Jamal”, askari jeshi mwenye cheo cha sajenti, baada ya kusota sana bila kazi kutokana na kufukuzwa jeshini hatimaye anakutana na kocha Joramu ambaye alikuwa kocha wake wa mchezo wa ngumi(boxing) alipokuwa jeshini  na anampa Jamal  mwongozo wa maisha. Jamal anafurahia mafanikio yake yanayomuunganisha tena na familia yakae lakingi ghafla….???




Anti virus
Uzembe ni kitu kidogo unaweza kuleta madhara makubwa katika maisha kila jambo lafaa kufanyija kiumakini…Fuatilia kisa hiki cha ANTI-VIRUS...



 Pumba 
Ndoa inaweza kuwa ndoa, ndoa inaweza kuwa ndoano. Mazoea mabaya katika ndoa yanaweza kukufanya ujisahau mwanzoni lakini yakifika shingoni...


 Blood Test!
Wawili wakisha pendana kwamwe hakuna wakuwatenganisha...
Fitina .Uongo na hata roho mbaya haziwezi fanya lolote katika hili….Fuatilia

FILAMU ZA KIHINDI ZINAZOONGOZA KWA MAUZO











1. CHENNAI EXPRESS
Directed by Rohit Shetty
cast: Shahrukh Khan and Deepika Padukone.

 
2. 3 IDIOTS
Directed by Rajkumar Hirani
cast: Aamir Khan, Kareena Kapoor.
 
 

3.EK THA TIGER
cast: Salman Khan and Katrina Kaif
Directed by Kabir Khan



4. Yeh Jawaani Hai Deewani
cast: Ranbir Kapoor and Deepika
directed by Ayan Mukerji
 
 
 

5. DABAANG2
cast: Salman Khan
Directed by Arbazz Khan

UNAMKUMBUKA ANJALI MTOTO KATIKA KUCH KUCH HOTA HAE



Huyu ni yule mtoto aliigiza kama mtoto wa SHAHRUKH KHAN aliyezaliwa kisha mama yake RANI anafariki. Alipofikisha miaka 8 anapewa kitabu alichoachiwa na mama yake kinachohusu hadithi ya baba yake na rafiki wa baba yake KAJOL.
Sana Saeed.jpgJina lake halisi ni Sana Saeed, kazaliwa tarehe  22 September 1988, wakati anaigiza kuch kuch hota hae alikuwa na miaka 10 tu. Alijizolea umaarufu sana na kupelekea kupata tuzo mbalimbali.
Miaka imesogea sasa na katoto kamekuwa kikubwa, mwaka jana amecheza movie ya STUDENT OF THE YEAR akitumia jina la TANYA.

WASTARA IS BACK!

Wastara mwanaamke shujaa aliyepigana na misukosuko mingi katika maisha yake, mwanamke mfano wa kuigwa baada ya kimya cha muda mrefu kutokana na msiba wa mumewe kipenzi marehemu SAJUKI sasa amerudi tena katika tanisia hii ya filamu.Binafsi namkubaki sana katika fani hii ya filamu na hata katika maisha yake kiujumla. Watanzania ni muda wa kukaa mkao wa kula kwa kazi yake mpya. NUNUA NAKALA YAKO HALISI YA FILAMU YAKE MPYA "SHYAMAA"

FILAMU 100 KALI ZA KIHINDI ZILIZOTIKISA KUWA NA "LOVE STORY" KALI


Bollywood imekuwa maarufu sana duniani kutokana na kuwa na hadithi nzuri za mapenzi katika filamu zao. Tanisia hii ya filamu ina miaka mingi sana nchini humo yapata miaka mia moja, hebu angalia filamu 100 kali za mapenzi za kihindi toka miaka hiyo.


100. Umraao Jaan
hindi love movies
99. Rangeela
hindi love movies
98. Kashmir Ki Kali
hindi love movies
97. Barsaat (Raj kapoor Starrer)
hindi love movies
96. Zindagi na Milegi Dobara
hindi love movies
95. Dev D
hindi love movies
94. Student of the Year
hindi love movies
93. Socha Naa Tha
hindi love movies
92. Kabhie Khushi Kabhie Gham
hindi love movies
91. Ram Teri Ganga Maili
hindi love movies
90. Jeet
hindi love movies
89. Judaai
hindi love movies
88. Devdas
hindi love movies
87. Arth
hindi love movies
86. Hero
hindi love movies
85. Betaab
hindi love movies
84. Hum hai Raahi Pyaar Ke
hindi love movies
83. Pardes
hindi love movies
82. Julie
hindi love movies
81. Kabhie Haan Kabhie Naa
hindi love movies
80. Kaagaj Ke Phool
hindi love movies
79. Aradhana
hindi love movies
78. Aawara
hindi love movies
77. Paakeeja
hindi love movies
76. Shree 420
hindi love movies
75. 1942: A Love Story
hindi love movies
74. Choti Si Baat
hindi love movies
73. Vicky Donor
hindi love movies
72. Kabhi alvida Na Kehna
hindi love movies
71. Bobby
hindi love movies
70. Teri Meri Kaahani
hindi love movies
69. Ishq
hindi love movies
68. Dil Se
hindi love movies
67. Deewana
hindi love movies
66. My Name is Khan
hindi love movies
65. Salam Namastey
hindi love movies
64. Prem Rog
hindi love movies
63. Saathiya
hindi love movies
62. Love Aaj Kal
hindi love movies
61. Ghulam
hindi love movies
60. Padosan
hindi love movies
59. Ishqzade
hindi love movies
58. Taal
hindi love movies
57. Pyaar to Hona Hi tha
hindi love movies
56. Chalte Chalte
hindi love movies
55. Lamhe
hindi love movies
54. Sahib Bibi Aur Ghulam
hindi love movies
53. Sadak
hindi love movies
52. Parineeta
hindi love movies
51. Aashiqui 2
hindi love movies
50. Sadma
hindi love movies
49. Jodha Akbar
hindi love movies
48. Hum Tum
hindi love movies
47. Kal Ho Naa Ho
hindi love movies
46. Rab Ne Bana Di Jodi
hindi love movies
45. Om Shanti Om
hindi love movies
44. Dil to Paagal Hai
hindi love movies
43. Chandni
hindi love movies
42. Guide
hindi love movies
41. Kabhie Kabhie
hindi love movies
40. Daag: A Poem of Love
hindi love movies
39. Jab Tak Hai Jaan
hindi love movies
38. Dil Chahta Hai
hindi love movies
37. Fanna
hindi love movies
36. Barfi
hindi love movies
35. Mohabbatein
hindi love movies
34. Darr
hindi love movies
33. Silsila
hindi love movies
32. Raja Hindustani
hindi love movies
31. Dil
hindi love movies
30. Love Story
hindi love movies
29. Dil Hai Ke Manta Nahi
hindi love movies
28. Madhumati
hindi love movies
27. Rockstar
hindi love movies
26. Maine Pyaar Kiya
hindi love movies
25. Mughal E Azam
hindi love movies
24. Jaane… Tu yaa Jaane Na
hindi love movies
23. Pyaasa
hindi love movies
22. Jab We Met
hindi love movies
21. Rehna Hai Tere Dil Mein
hindi love movies
20. Vivah
hindi love movies
19. Ajab Prem Ki Ghajab Kahani
hindi love movies
18. Ashiqui
hindi love movies
17. Ek Duje Ke Liye
hindi love movies
16. Kaho naa…Pyaar Hai
hindi love movies
15. Aawarapan
hindi love movies
14. Ghajini
hindi love movies
13. Kuch Kuch Hota Hai
hindi love movies
12. Jannat
hindi love movies
11. Veer-Jara
hindi love movies
10. Bombay
hindi love movies
9. Saajan
hindi love movies
8. Qayamat Se Qayamat Tak
hindi love movies
7. Hum dil De Chuke Sanam
hindi love movies
6. Tere Naam
hindi love movies
5. Namastey London
hindi love movies
4. Gadar: Ek Prem Katha
hindi love movies
3. Dhadkan
hindi love movies
2. Hum aapke Hai Kaun
hindi love movies
1. Dilwaale Dulhaniya Le Jaayenge
hindi love movies



matokeo haya ni kwa mujibu wa tovuti ya http://filmschoolwtf.com