change the language of a blog

FILAMU MPYA ZA KIBONGO (BONGO MOVIES)









UNAMKUMBUKA ANJALI MTOTO KATIKA KUCH KUCH HOTA HAE



Huyu ni yule mtoto aliigiza kama mtoto wa SHAHRUKH KHAN aliyezaliwa kisha mama yake RANI anafariki. Alipofikisha miaka 8 anapewa kitabu alichoachiwa na mama yake kinachohusu hadithi ya baba yake na rafiki wa baba yake KAJOL.
Sana Saeed.jpgJina lake halisi ni Sana Saeed, kazaliwa tarehe  22 September 1988, wakati anaigiza kuch kuch hota hae alikuwa na miaka 10 tu. Alijizolea umaarufu sana na kupelekea kupata tuzo mbalimbali.
Miaka imesogea sasa na katoto kamekuwa kikubwa, mwaka jana amecheza movie ya STUDENT OF THE YEAR akitumia jina la TANYA.

ANGALIA ANIMATION HII YA KIBONGO


-by chuyam chuyae.

WASTARA IS BACK!

Wastara mwanaamke shujaa aliyepigana na misukosuko mingi katika maisha yake, mwanamke mfano wa kuigwa baada ya kimya cha muda mrefu kutokana na msiba wa mumewe kipenzi marehemu SAJUKI sasa amerudi tena katika tanisia hii ya filamu.Binafsi namkubaki sana katika fani hii ya filamu na hata katika maisha yake kiujumla. Watanzania ni muda wa kukaa mkao wa kula kwa kazi yake mpya. NUNUA NAKALA YAKO HALISI YA FILAMU YAKE MPYA "SHYAMAA"