change the language of a blog

MUAROBAINI WA BONGO MOVIES



Tansia ya filamu nchini Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi sana ikiwemo wizi wa kazi za wasanii unaofanywa na watu wachache waopenda kudandia treni kwa mbele.pamoja na hilo lakini suala la wasanii kuuza hati miliki za kazi zao kwa wasambazaji nalo ni tatizo kubwa sana kwani inawanyonya sana wasanii.
Baraza la sanaa Tanzania(BASATA),bodi ya filamu pamoja na mamlaka ya mapato Tanzania(TRA) kwa pamoja wakiwa wanatekeleza azma ya serikali ya kutetea na kuhakikisha haki stahiki za wasanii zinaendena sambamba na kazi nzito wanazozifanya wamesema "MUAROBAINI WA WEZI WA KAZI ZA WASANII TAYARI UMESHAIVA"
Utekelezaji rasmi utaanza januari mosi 2013.