change the language of a blog

FILAMU 100 KALI ZA KIHINDI ZILIZOTIKISA KUWA NA "LOVE STORY" KALI


Bollywood imekuwa maarufu sana duniani kutokana na kuwa na hadithi nzuri za mapenzi katika filamu zao. Tanisia hii ya filamu ina miaka mingi sana nchini humo yapata miaka mia moja, hebu angalia filamu 100 kali za mapenzi za kihindi toka miaka hiyo.


100. Umraao Jaan
hindi love movies
99. Rangeela
hindi love movies
98. Kashmir Ki Kali
hindi love movies
97. Barsaat (Raj kapoor Starrer)
hindi love movies
96. Zindagi na Milegi Dobara
hindi love movies
95. Dev D
hindi love movies
94. Student of the Year
hindi love movies
93. Socha Naa Tha
hindi love movies
92. Kabhie Khushi Kabhie Gham
hindi love movies
91. Ram Teri Ganga Maili
hindi love movies
90. Jeet
hindi love movies
89. Judaai
hindi love movies
88. Devdas
hindi love movies
87. Arth
hindi love movies
86. Hero
hindi love movies
85. Betaab
hindi love movies
84. Hum hai Raahi Pyaar Ke
hindi love movies
83. Pardes
hindi love movies
82. Julie
hindi love movies
81. Kabhie Haan Kabhie Naa
hindi love movies
80. Kaagaj Ke Phool
hindi love movies
79. Aradhana
hindi love movies
78. Aawara
hindi love movies
77. Paakeeja
hindi love movies
76. Shree 420
hindi love movies
75. 1942: A Love Story
hindi love movies
74. Choti Si Baat
hindi love movies
73. Vicky Donor
hindi love movies
72. Kabhi alvida Na Kehna
hindi love movies
71. Bobby
hindi love movies
70. Teri Meri Kaahani
hindi love movies
69. Ishq
hindi love movies
68. Dil Se
hindi love movies
67. Deewana
hindi love movies
66. My Name is Khan
hindi love movies
65. Salam Namastey
hindi love movies
64. Prem Rog
hindi love movies
63. Saathiya
hindi love movies
62. Love Aaj Kal
hindi love movies
61. Ghulam
hindi love movies
60. Padosan
hindi love movies
59. Ishqzade
hindi love movies
58. Taal
hindi love movies
57. Pyaar to Hona Hi tha
hindi love movies
56. Chalte Chalte
hindi love movies
55. Lamhe
hindi love movies
54. Sahib Bibi Aur Ghulam
hindi love movies
53. Sadak
hindi love movies
52. Parineeta
hindi love movies
51. Aashiqui 2
hindi love movies
50. Sadma
hindi love movies
49. Jodha Akbar
hindi love movies
48. Hum Tum
hindi love movies
47. Kal Ho Naa Ho
hindi love movies
46. Rab Ne Bana Di Jodi
hindi love movies
45. Om Shanti Om
hindi love movies
44. Dil to Paagal Hai
hindi love movies
43. Chandni
hindi love movies
42. Guide
hindi love movies
41. Kabhie Kabhie
hindi love movies
40. Daag: A Poem of Love
hindi love movies
39. Jab Tak Hai Jaan
hindi love movies
38. Dil Chahta Hai
hindi love movies
37. Fanna
hindi love movies
36. Barfi
hindi love movies
35. Mohabbatein
hindi love movies
34. Darr
hindi love movies
33. Silsila
hindi love movies
32. Raja Hindustani
hindi love movies
31. Dil
hindi love movies
30. Love Story
hindi love movies
29. Dil Hai Ke Manta Nahi
hindi love movies
28. Madhumati
hindi love movies
27. Rockstar
hindi love movies
26. Maine Pyaar Kiya
hindi love movies
25. Mughal E Azam
hindi love movies
24. Jaane… Tu yaa Jaane Na
hindi love movies
23. Pyaasa
hindi love movies
22. Jab We Met
hindi love movies
21. Rehna Hai Tere Dil Mein
hindi love movies
20. Vivah
hindi love movies
19. Ajab Prem Ki Ghajab Kahani
hindi love movies
18. Ashiqui
hindi love movies
17. Ek Duje Ke Liye
hindi love movies
16. Kaho naa…Pyaar Hai
hindi love movies
15. Aawarapan
hindi love movies
14. Ghajini
hindi love movies
13. Kuch Kuch Hota Hai
hindi love movies
12. Jannat
hindi love movies
11. Veer-Jara
hindi love movies
10. Bombay
hindi love movies
9. Saajan
hindi love movies
8. Qayamat Se Qayamat Tak
hindi love movies
7. Hum dil De Chuke Sanam
hindi love movies
6. Tere Naam
hindi love movies
5. Namastey London
hindi love movies
4. Gadar: Ek Prem Katha
hindi love movies
3. Dhadkan
hindi love movies
2. Hum aapke Hai Kaun
hindi love movies
1. Dilwaale Dulhaniya Le Jaayenge
hindi love movies



matokeo haya ni kwa mujibu wa tovuti ya http://filmschoolwtf.com

CHENNAI EXPRESS YATOA FUNDISHO BONGO MOVIE

Chennai express ni filamu gumzo nchini India kutoka katika kiwanda cha filamu cha wajanja wa town BOLLYWOOD. Filamu hii imeongozwa na muongozaji maarufu wa filamu za mapigano ROHIT SHETTY huku Deepika na Shahrukh Khan wakiifanya filamu hii kuwa kivutio kikubwa mpaka kuvunja record ya mauzo nchini hapo.
Pamoja na hayo yote, wasanii wa BONGO MOVIE  pamoja na wadau tunajifunza nini?.
Muda uliotumika kuitangaza hii filamu si chini ya miezi kumi na ndio sababu ikafanya watu wengi kuisubilia kwa hamu kubwa. Hali ni tofauti kwa hapa bongo, kila mwezi kampuni au msanii anatoa filamu mpya, hamna promo labda posters chache katika vibanda vya vituo vya basi tu. Bado hatupo serious na kazi kiukweli bado sana.
Baada ya chennai express Shahrukh anatoa filamu mpya " happy new year" itakayotoka mwezi wa 10 mwaka 2014

SIRI NZITO ILIYOMFANYA KANUMBA KUNG'AA, MANENO MENGI YANASEMWA

Hakika haitakuwa rahisi jina la marehemu Steven Kanumba kusahaulika katika tanisia ya filamu Afrika mashariki. Mengi yalizungumzwa sana baada ya kifo chake lakini ukweli ni kwamba kuna siri nzito sna katika mafanikio yake.
Wasanii wengi wa bongo movie wanaoitwa masupa staa wameshindwa kujua siri nzito ya Kanumba labda kwa wasanii wachache kama JB, CLOUD na TINO. Kuuvaa uhusika si jambo dogo na uwezo wa kubadilika kwa msanii katika filamu tofauti anazo cheza huo ndio usanii wa kweli. 
 
 
Tangu filamu ya "crazy of love" Kanumba aliyocheza chizi na filamu ya "uncle jj" inaonyesha jinsi gani alikuwa hajaegemea kwenye cast za ubosi na utajiri tu bali anauwezo wa kubalika kutokana na stori, hali imekuwa kinyume kwa wasanii wengine wanaopenda kuvaa vipuli vya maskioni tuu filamu zao zote.

 

Daima utakumbukwa, wewe ulikuwa star wa kweli

HII NDIYO SABABU YA DIAMOND KU-SHINE, WENGI WASEMA NI NJIA ILE ILE YA MAREHEMU KANUMBA

Ni ukweli usiofichika nyota wa bongo flava, kijana Diamond ni msanii aliye na mafanilio sana katika kazi yake hali inayomfanya kuwa gumzo katika vyombo vya habari nchini. Baada ya kuachia video yake mpya iliyofanywa kwa gharama ya  takribani milioni arobaini na tano za kitanzania, mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platnumz amefananishwa na marehemu Steven kanumba kwa jinsi anavyothubutu kufanya mambo makubwa kukuza Sanaa na kipaji chake tofauti na wasanii wengine wenye majina makubwa nchini.Hayo yameongelewa na Msanii dully sykes katika mahojiano.“Kanumba alikuwa ana uwezo wa hata kuchukua nauli yake ya kwenda sehemu kama Ghana kwenye tamasha la movie lakini ilimradi kujitengenezea status yake. Kwahiyo Diamond ni mtu ambaye tayari ameshajitolea kwaajili ya kuutetea muziki wetu.” Alisema Dully sykes


USICHOKIJUA KATIKA MKASA WA KUPIGWA CHUPA AUNT EZEKIEL

Mtuhumiwa aliyempiga chupa mwigizaji Aunt Ezekiel Jumapili iliyopita nje ya Ukumbi wa Bilicanas ndiye aliyewahi kumchana viwembe mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ mwaka 2011.

Kumbukumbu  zinaonesha kuwa, mwaka 2011 Lulu alivamiwa na wadada wa mjini baada ya kunaswa katika pozi tata na mwanaume wa watu maeneo ya Kariakoo, jijini Dar. Alipoulizwa juu ya sakata hilo, Lulu alitiririka hivi:

“Naweza kumkumbuka mwanamke mmoja, namfahamu kwa jina la Yvonne, alinivamia na kuanza kunishambulia huku mkononi akiwa ameshika wembe...”

 Mwishoni mwa wiki iliyopita, Yvonne huyohuyo ndiye aliyedaiwa kumpiga chupa mkononi Aunt ambapo haikubainika mara moja sababu za kufanya tukio hilo.

Aunt alipelekwa katika Hospitali ya Dokta Mvungi, Kinondoni na kushonwa nyuzi sita huku mtuhumiwa akishikiliwa na polisi.